Afrika: Tume ya Afrika kukataa Ombi la kihadhi la mashirika ya haki za kibinadamu inatishia uwezo wake wa kutekeleza jukumu la kukuza na kulinda haki za kibinadamu

Sisi, kama mashirika wasahihi, tunasikitika na uamuzi wa Tume ya Afrika Ya Haki za Binadamu na Watu wa kukataa ombi la kihadhi la mashirika matatu yakiwa Alternatives Cote d’Ivoire, Human Rights First Rwanda na Synergia – Initiatives for Human Rights.

Choose a language to view report

Download PDF